🚨 OFFICIAL : Sabri Lamouchi ameripotiwa kufutwa kazi kama kocha wa Tunisia kufuatia kipigo cha aibu cha 5-1 dhidi ya Sweden leo! 🇹🇳❌
🇹🇳 Mondher Kebaier atachukua jukumu la kuinoa Carthage Eagles kwenye mechi zilizobaki za kampeni yao ya Kombe la Dunia. 🤯
📊 Rekodi ya Sabri Lamouchi:
🏟 Mechi 5
✅ Bao 1 la kufunga
✅ Ushindi 1
🤝 Sare 1
❌ Vipigo 3
⚽️ Mabao 11 ya kufungwa
Source Ben Jacobs
