
✍🏼 Kila kitu kimekamilika rasmi na kocha wa zamani wa Chelsea ambaye atatangazwa kuwa kocha mpya wa City, kuchukua nafasi ya Pep Guardiola.
Maresca ametia saini hadi Juni 2029, kama ilivyofunuliwa miezi iliyopita
🫱🏻🫲🏼 𝐇𝐢𝐦𝐞𝐭𝐡𝐢𝐛𝐢𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐤𝐚𝐛𝐢𝐬𝐚. 💙🇮🇹
Unamkubali Enzo Maresca nikocha mzuri…??? Weka reaction bila kujali wewe ni shabiki wa timu gani hapa tunaongea Football sio ushabiki


