
Klabu ya Hapoel Petah Tikva FC ya Israel 🇮🇱 imekamilisha usajili wa Kiungo mshambuliaji Karim Kimvuidi (24) 🇨🇩 kwa mkataba wa muda mrefu akiwa mchezaji huru.🔐🩵
Karim Kimvuidi amejiunga na klabu hiyo ya Israel baada ya kuachana na Orlando Pirates 🇿🇦 kwa makubaliano ya pande zote ambapo waliamua kusitisha mkataba wa mwaka mmoja uliokuwepo baina ya pande zote mbili.
