
Hakuna makubaliano ya mkopo wala uhamisho wa kudumu wa Selemani Mwalimu 🇹🇿 kwenda Simba.
Mchezaji ana mkataba unaofanya kazi na Wydad.
Klabu itachukua hatua za kisheria ili kulinda haki zake na maslahi yake kutokana na chapisho la Simba.
📝 Taarifa ya Wydad 🇲🇦
Kimewaka huko
