
Real Madrid CF wamezifunga timu 112 kati ya 115 walizokutana nazo kwenye mashindano ya Ulaya! ๐คฏโฝ
Lakini kuna timu TATU TU ambazo hawajawahi kuzifunga ๐
โ Arsenal FC โ hawajapoteza katika mechi 4 ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ
โ AEK Athens FC โ hawajapoteza katika mechi 2 ๐ฌ๐ท
โ LOSC Lille โ hawajapoteza katika mechi 1 ๐ซ๐ท
Rekodi ya kipekee kabisa โ lakini hawa watatu bado ni โmwibaโ! ๐๐ฅ



