
✅Klabu ya Simba SC Tanzania 🇹🇿imefikia makubaliano na beki wa kulia wa Azam FC Nathaniel Chilambo✅
Chilambo ambaye anamaliza mkataba wake na Azma Fc mwishoni mwa msimu huu, Tayari amesaini Pre – Contract ya misimu miwili na Simba Huyu ni mnyama mpya unyamani🔴⚪💰🇹🇿🔐

