“Kanye West alikuwa mume kamili kwangu lakini nilimtaliki kwa sababu yeye hulala popote, wakati wowote. Alikuwa akilala hata tunapofanya mapenzi.” Kim Kardashian
βKanye West analala popote pale, muda wowote , tunaweza kuwa kwenye mkutano, kisha atanitambulisha kwa watu ambao sijawahi kukutana nao na tukiwa bado tunazungumza atalala tu. Au tunaweza kuwa kwenye mgahawa tunapata chakula halafu yeye atalala na kukoroma kama jenereta. Wakati mwingine hata analala tunapofanya kitandani. Ugonjwa wake wa kulala ulikuwa unaniudhi sana ndiyo maana nilimtaliki”. Kim Kardashian



